Wema Sepetu ameamua kurudisha kwa jamii.
Miss Tanzania huyo wa zamani na muigizaji wa filamu, ameanzisha mradi
mpya alioupa jina ‘Wema na Jamii’ ambapo ameanza kuzunguka kwenye shule
mbalimbali jijini Dar es Salaam kuongea na wanafunzi na kuwapa vitu
mbalimbali.
Yeye mwenyewe anasema #WemaNaJamii #MkonoWaBaraka #MtotoWakoNiWangu. Tazama picha hizo chini.
Happy Christmas
-
👋👼👋 Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
4 months ago
0 comments:
Post a Comment