Saturday 20 August 2016

Diddy na Cassie waachana rasmi baada ya ugomvi


cassie-diddy
Vyanzo vilivyo karibu na wawili hao, vimeuambia mtandao huo kuwa yalizuka mabishano makali kati yao wakiwa kwenye gari Jumatano mchana baada ya Cassie kumwambia Diddy kuwa anataka waachane. Wamesema kuwa Diddy alikasirika kiasi cha kushika simu yake na kuanza kuangalia vitu vilivyomo.
Vyanzo hivyo vimesema kuwa Diddy aliruka kutoka ndani ya gari huko Bev Hills akiwa na simu mkononi na Cassie kuondoka na dereva.
Hatimaye Diddy alirejea nyumbani na kuipeleka simu lakini baadaye akachukua magari mawili yaliyokuwa yameegeshwa nje.
Cassie alikuwa amemuambia mama yake kuhusu tukio la simu kabla Diddy hajarejea nyumbani na kuirejesha na hivyo aliwaita polisi. Polisi walifika nyumbani kwa Cassie na kuwaeleza kuwa ameipata simu yake na wakaondoka japo waliandika ripoti ya tukio hilo. Hata hivyo hakuna kosa lililofanyika.
Kuhusu kuachana, wawili hao wamewahi kuachana kabla
Share:


Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    4 months ago
Powered by Blogger.