Home »
KITAIFA
» Yaliyojiri Moshi katika maadhimisho siku ya wafanyakazi Duniani
Leo
ni maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani, ambapo Tanzania inaunga
na nchi nyingine duniani kuadhimisha na Kitaifa maadhimisho hayo
yanafanyika katika viwanja vya Ushirika Moshi, mkoani Kilimanjaro na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ndiye
mgeni rasmi katika maadhimisho hayo akiwa ameambatana na Makamu wa Rais,
Samia Suluhu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine
wa Kitaifa.
0 comments:
Post a Comment