Thursday 9 June 2016

BOOM BOOM KWA WANA UDOM LA TOKA RASMI LEO 9/6/2016

HII NI BAADA YA WANACHUO WA CHUO KIKUU CHA UDOM KUSUBIRI FEDHA ZAO ZA KUJIKIMU KWA MUDA MREFU NA HATIMAYE FEDHA HIZO ZAWA TAYARI RASMI KWA SIKU YA LEO ALHAMISI YA MWEZI WA 6 TAREHE 9 MWAKA 2016.

NI BAADA YA WIZARA YA MIKOPO KUTIA NGUVU YA ZIADA KWENYE OFISI HUSIKA HUKO UTAWALA MKUU NA HATIMAYE MAMBO YA KAENDA SAWASAWA NA KUJIBU KIU YA WATU WENGI.
 HII NI KAZI YA WAZIRI ABEID MUJIBU, AKIWE BEGA KWA BEGA NA NAIBU WAZIRI MANJORO NA MATIPA ISMAILI.

KARIBU MVUNGIPLUS KWA HABARI ZA NDANI NA NJE YA UDOM YETU


 NA MVUNGI KOMBO.
Share:

3 comments:


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.