Wednesday, 29 June 2016

ITAMBUE UDOM NA MBWEMBE ZAKE

Ndugu mlimwengu na mkazi wa Dunia hii ya kileo, Nipende kuwajulia hali zenu kwa misingi sahihi ya dini zenu. msinihukumu sana kwa kutokuwa na dhehebu japo na amini katika mungu mmoja.

kwa siku hii ya leo tarehe 29 mwezi wa 6 mnamo mwaka 2016. siku ambayo haitokaa ijirudie tena, mimi Mhariri wako wa makala haya ya ITAMBUE UDOM NA MBWEMBWE ZAKE  na penda kuanza na haya machache ya fuatayo kwa herufi kubwa kabisa ili nioneshe msisitizo wa kina na watija.

   A: NAPENDA TUIJUE UDOM DUNIANI KOTE KULE TULIPO NA KONA ZOTE ZILE
       TUFIKAPO.

  B: NAJARIBU KUONYESHA UPEKEE WA UDOM NA SEHEMU NYINGINE ZOTE ZILE,
      KAMA CHUO BORA.

  C: NA MWISHO NA RINGA NA UDOM YANGU

   NB: UDOM SIO CHUO CHA WATU WENYE UFAULU WA CHINI HATA KIDOGO.


        KUMBUKA ZIPO DIVISION I NA II ZA KUTOSHA KULIKO HATA III.

 SHTUKA SASA UIJUE UDOM YOTE NA VIUNGA VYAKE.


       NDUGU MLIMWENGU MWENZANGU, KWANI LABDA UJIHISI INFERIOR KUDAHILIWA
        UDOM?

NB:   WATU WENGI WALIOPO CHUO KIKUU CHA UDSM, SUA MZUMBE WANAKIONEA
         WIVU CHUO KIKUU CHA DODOMA KWA HUDUMA NA ELIMU HAI INAYOPATIKANA
          HAPA;

          SHTUKA KUANZIA LEO.


         KAA UKIJUA UDOM NDIO BABA LAO AISEEEEEEE

UDOM, UDOM, UDOM UDOM UDOM UDOM UDOM UDOM UDOM UDOM
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

15612

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

Powered by Blogger.