Monday, 20 June 2016

MO BEJALA YA MFUNDISHA YANGA KITU MURUWAAA

Usiku wa Jumapili June 19, Yanga ilipoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya shirikisho Afrika mbele ya MO Bejaia ya Algeria na kudosha pointi tatu .

Yassin Sahli ndiye aliyewapa machungu wanajangwani dakika ya 20 tu pale alipoifungia timu yake bao bekee kwenye mchezo huo lililodumu kwa dakika zote za mchezo huo.

Inawezekana haukuliona goli hili, angalia video ya bao hilo hapa chini…MO Bejaia 1-o Young Africans



Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

Powered by Blogger.