Siku chache tu baada ya mabasi ya mwendo kasi kuanza kuhudumu ndani ya jiji la Dar es Salaam, hatimaye malalamiko ya wananchi na kero yapata suluhisho.
Hii ni baada ya Mh waziri Mkuu Majaliwa kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha mabasi ya mwendo kasi, na kuzijibu changamoto za baadhi ya wananchi wanaotumia usafiri huo.
Happy Christmas
-
ππΌπ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
0 comments:
Post a Comment