Friday 27 May 2016

ANGALIA WAZIRI MKUU ALIVYOTIA FORA

Siku chache tu baada ya mabasi ya mwendo kasi kuanza kuhudumu ndani ya jiji la Dar es Salaam, hatimaye malalamiko ya wananchi na kero yapata suluhisho.

  Hii ni baada ya Mh waziri Mkuu Majaliwa kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha mabasi ya mwendo kasi, na kuzijibu changamoto za baadhi ya wananchi wanaotumia usafiri huo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.