Friday 27 May 2016

MAN U WALAMBA DUME

Waungwana wapenzi wa blog yetu leo hii tarehe 27/5/2016 siku ya Ijumaa club ya Man United imetangaza na kumpokea rasmi kocha machachari na  mtaalamu Jose Mourinho, kuwa kocha wa Man U  kwa ofa tamu ya mkataba wa miaka mitatu na kufanya kocha huyo raia wa Ureno kuhudumu na magwiji wa soka Uingereza kwa muda wa miaka mitatu.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.