Waungwana wapenzi wa blog yetu leo hii tarehe 27/5/2016 siku ya Ijumaa club ya Man United imetangaza na kumpokea rasmi kocha machachari na mtaalamu Jose Mourinho, kuwa kocha wa Man U kwa ofa tamu ya mkataba wa miaka mitatu na kufanya kocha huyo raia wa Ureno kuhudumu na magwiji wa soka Uingereza kwa muda wa miaka mitatu.
Happy Christmas
-
ππΌπ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
0 comments:
Post a Comment