Saturday 7 May 2016

MCHEZAJI WA SOKA APOTEZA UHAI WAKE NDANI YA DIMBA dakika ya 67

Hii ndio video ya mchezai aliyepoteza uhai wake akiwa uwanjani baada ya matatizo ya moyo kumshika gafla na kuanguka uwanjani, Patrick Ekeng alifariki dunia akiwa anakipiga  Romani, ilikuwa ni mechi yake dhidi ya Viitorul, ambapo aliingia uwanjani dakika ya 62 kipindi cha pili, na mnamo dakika saba mbele alianguka gafla na kukimbizwa hospitalini ambapo ndipo alipoupoteza uhai wake.
alikuwa mchezaji kinda mwenye umri wa miaka 26.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.