Saturday 7 May 2016

DARUSO

Hatimaye baraza la mawaziri la serikali mpya ya chuo kikuu cha Dar es Salaam la tangazwa rasmi na raisi Leon Erasmi.

  hii hapa ni list ya mawazri walioteuliwa na Mh Raisi Leon Erasmi

Waziri mkuu Bahemu Dadly

Waziri wa elimu Revocutus Mbalazi
Naibu Christopher Juliana

Waziri wa katiba na sheria Kavishe Jacklin

Waziri ya Mikopo Mathew Jackson

Waziri wa malazi  Kunenga

Wizara ya habari  Rashid Ally

Wizara ya afya na cafteria  Kija Nsula

Wizara ya jinsia na makundi maalumu  Urassa Emma

Wizara ya ulinzi na usalama  Chande Jidawa

Wizara ya Michezo Hassani Ally

je, unaneno gani katika baraza hili jipya?

ytunahitaji comment zaka kwa kina


Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.