Saturday 11 June 2016

matokeo ya kwanza uchaguzi wa yanga kwa nafasi ya mwenyekiti na makamu wake


Najua mashabiki na wanachama wa Yanga wote walikuwa wanasubiri kwa hamu kujua matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa Yanga katika nafasi mbalimbali, hususani ya mwenyekiti na makamu wake.
Katika nafasi ya mwenyekiti Yusuph Manji ndio alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo, kura za awali zimetangazwa yeye amepata jumla ya kura za ndio 1468, hapana 0 na kura mbili ndio zimeharibika.
Kwa upande wa nafasi ya makamu mwenyekiti Clement Sanga amepata jumla ya kura 1428 wakati mpinzania wake Ossoro amepata jumla ya kura 80, matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa Yanga yatatangazwa kesho Jumapili ya June 12 2016.
NA MVUNGI K.A
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.