Home »
MATUKIO
» MWALIMU MKUU AMTIA MIMBA MWANAFUNZI WA DARASA LA SITA
|
ALIYEKUWA mwalimu
mkuu wa shule ya msingi Mwadui iliyopo kata ya Ngokolo manispaa ya
Shinyanga Jimrodi Tiwashobwa ametuhumiwa kumpatia mimba mwanafunzi wa
darasa la sita (12) .
Hayo yalisemwa jana
na mama mzazi wa mtoto huyo Anna Masanja liyehudhuria mkutano wa wadau
wa kupinga mimba za utotoni iliyoandaliwa shirika linalo pinga mimba na
ndoa za utotoni ( Agape) lilipozindua rasmi kutekeleza mradi huo kwa
kata nne za halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
|
0 comments:
Post a Comment