Leo chuo kikuu cha Dodoma Udom kimepata fursa ya kipekee kabisa Ku host mkumtano Wa bunge la wabunge Wa jumuiya ya Africa Mashariki, wageni na Wa chokoza mada ni Makongoro Nyerere, Shy rose Bhanji, na Kimbisa
Wakiwa chini ya mwenyeji wao Prf Kabigumila.
Imeandikwa na Mvungi K.A
Happy Christmas
-
👋👼👋 Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
8 months ago
0 comments:
Post a Comment