Friday 26 August 2016

Mwanamke amkuta mumewe akishiriki ngono na mbwa wake


Mwanamke mmoja amepigwa na butwaa baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa wao nyumbani Spring Valley, Nairobi

–Inasemekana mwanamke huyo alikuwa amezuru mashambani kupeleka watoto ambapo alirudi nyumbani Nairobi bila kutarajiwa

Mwanamke mmoja alielezea kisa cha kushtua baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa nyumbani, Spring Valley, Nairobi.

Mwanamke huyo aliondoka nyumbani Jumamosi Agosti 20, kuelekea mashambani Gatanga kupeleka watoto wao.

Walikuwa wamekubaliana na mumewe kuwa angekaa wikendi na wazazi mashambani, hasa baada ya kuacha amemtayarishia chakula mwanamume huyo.

Hata hivyo, alirudi nyumbani ghafla baada ya kukumbuka alikuwa ameacha dawa za mmoja wa watoto wao.

Lakini baada ya kufika nyumbani alipigwa na butwaa baada ya kuingia ndani ya chumba chao cha kulala na kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa wao!

Baada ya kupatikana, mwanamume huyo alivaa nguo haraka na kuondoka nyumbani mara moja, bila kusema chochote
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    4 months ago
Powered by Blogger.