Udambwi na Manyanga Zone@



    Laliga nyasi za waka moto baada ya Barca na Madrid kuminyana kikorofi kooni,
 
      hatimaye ule ubishi na na uhasimu uliokuwepo baina ya mahasimu wa wili wa jiji la kitalunyu umeisha baada ya Barca kukubali kuolewa kwa ndoa nene na sio nyembamba ya mahali ya shilingi 1-2 wakwanza kutuma posa na kutoa  mahari ni Barca ila yakamtokea puani pale tu Mfaransa Benzema alipo sawazisha goli  na kufanya dau kuwa ni moja moja, ila muda kidogo Mreno machachari Ronaldo akaua kabisa kwa goli la pili, Hadi mwisho Barca 1 Madrid 2 na kipenga cha refa preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

1 comment:


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

Powered by Blogger.