Laliga nyasi za waka moto baada ya Barca na Madrid kuminyana kikorofi kooni,
hatimaye ule ubishi na na uhasimu uliokuwepo baina ya mahasimu wa wili wa jiji la kitalunyu umeisha baada ya Barca kukubali kuolewa kwa ndoa nene na sio nyembamba ya mahali ya shilingi 1-2 wakwanza kutuma posa na kutoa mahari ni Barca ila yakamtokea puani pale tu Mfaransa Benzema alipo sawazisha goli na kufanya dau kuwa ni moja moja, ila muda kidogo Mreno machachari Ronaldo akaua kabisa kwa goli la pili, Hadi mwisho Barca 1 Madrid 2 na kipenga cha refa preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
hii ni shidaaaa
ReplyDelete