Saturday 7 May 2016

MAJANGA YALIYOJIRI NDANI YA BUNGE LA UDOM JANA

Ni masaa machache tu tangu serikali ya raisi Robert Charese imalize muda wake wa kuwa tumikia wana Udom, ila kilichotokea ndani ya bunge tukufu la kitivo cha elimu ni kitu cha kustajabisha kwani baadhi ya waheshimiwa walidiriki kukunjiana ngumi na wengine kutoleana lugha chafu za kukejeliana.

Kuna jopo lingine lililoona ni bora kununua bunduki kutokana na udhaifu wao wa nguvu.

hizi hapa ni baadhi ya picha za wabunge waliodindishiana
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    4 months ago
Powered by Blogger.