Sunday 3 April 2016

TFF YA ZIMA NDOTO ZA MASTAA SOMA ZAIDI


   SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA TFF LEO LIMETANGAZA WAZI ADHABU YA MAISHA KWA BAADHI YA WACHEZAJI NA MAREFARII KWA VILABU MBALI MBALI, HIVYO KUWAFANYA WATUHUMIWA HAO KUYASAHAU MAISHA YA SOKA NA KUTAFUTA KADA NYINGINE KABISA HATA IKIWEMO KILIMO CHA MKONO. TIMU ZA JKT OLJORO YA ARUSHA NA POLISI TABORA ZOTE ZA KIJESHI ZIMEKUMBWA NA JANGA HILI.

  KLABU YA GEITA GOLD IMEKUTWA NA MAAFA YA KUFUNGIWA  BADHI YA WACHEZAJI WAKE. TAMKO HILI LIMETOLEWA NA MAKAMU MWENYEKITI WA TFF BW. JEROME MSEMWA.

   FIGISU FIGISU ZA KUPANGA MATOKEO NDIYO SABABU KUBWA ILIYOZIPELEKEA KLABU HIZI KUPATA JANGA HILI LA NAMNA YAKE, EBWANAEE KUMBE MAJIPU YA NA TUMBULIWA HADI KWENYE KANDANDA,
Share:

2 comments:


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - 👋👼👋 Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.