Friday 6 May 2016

UDOM MAMBO SI MAMBO

Waungwana wangu wa ukweli, napenda ku share nanyi hali halisi inayoendelea katika siasa ya chuo kikuu cha Dodoma kwa sasa, leo tarehe 7/5/2016 serikali ya wanafunzi ya chuo kikuu cha Dodoma inavunjwa rasmi na bunge lake tukufu baada ya kumaliza muda wao wa uongozi kwa kipindi cha mwaka mmoja, serikali hiyo iliyokuwa ikiongozwa na raisi Charse Robert, bila kumsahau waziri machachari mr Peter almaarufu Black.

je, ni yapi maoni yako juu ya serikali hii? na unadhani imefanikiwa katika utendaji wake kwa asilimia ngapi, na kumbwanda mbwanda kwa asilimia ngapi?


Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.