Friday 6 May 2016

WABUNGE VITI MAALUMU WAJA JUU

Hatimaye wabunge wa viti maalumu waja juu baada ya kudhalilishwa na mbunge kutoka chama cha mapinduzi, wakimtaka afute kauli yake ya udhalilishaji ikiwa inaonyesha dhamira ya kashifa, ni baada ya Ester Bulaya, Devotha Minja, Halima Mdee, Jescah Kishoa, kuona udhalilishaji wa moja kwa moja ukielekezwa katika vyama vyao vinavyo unda umoja wa ukawa
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.