Hatimaye wabunge wa viti maalumu waja juu baada ya kudhalilishwa na mbunge kutoka chama cha mapinduzi, wakimtaka afute kauli yake ya udhalilishaji ikiwa inaonyesha dhamira ya kashifa, ni baada ya Ester Bulaya, Devotha Minja, Halima Mdee, Jescah Kishoa, kuona udhalilishaji wa moja kwa moja ukielekezwa katika vyama vyao vinavyo unda umoja wa ukawa
Happy Christmas
-
ππΌπ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
0 comments:
Post a Comment