Friday 6 May 2016

DC KINONDONI AJA NA KALI YA MWAKA

Ni masaa machache tu tangu mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh Ally, aweze kuingia moja kwa moja hospitali ya mwana nyamala na kuushuhudia uozo uliomo hospitalini pale,

mkuu wa wilaya huyo kijana na mwenye nguvu za kutosha ameweza kuzama ndani ya hospitali hiyo ya mwananyamala katika sura ya kuwashangaza wengi, kwani aliingia kama raia wa kawaida tena akiwaamevalia mavazi ya kiswazi tu, suo mwendo wa suti na tai za kiitaliano.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.