Ni masaa machache tu tangu mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh Ally, aweze kuingia moja kwa moja hospitali ya mwana nyamala na kuushuhudia uozo uliomo hospitalini pale,
mkuu wa wilaya huyo kijana na mwenye nguvu za kutosha ameweza kuzama ndani ya hospitali hiyo ya mwananyamala katika sura ya kuwashangaza wengi, kwani aliingia kama raia wa kawaida tena akiwaamevalia mavazi ya kiswazi tu, suo mwendo wa suti na tai za kiitaliano.
Happy Christmas
-
ππΌπ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
8 months ago
0 comments:
Post a Comment