Wednesday 8 June 2016

SHARAPOVA AFUNGIWA KUCHEZA TENNIS MIAKA 2

Maria Sarapova ni miongoni mwa wanawak matajiri duniani, ambaye ni mcheza tennis maarufu. Maria Sharapova ameitikisa wimbi la michezo duniani baada ya kufungiwa kucheza Tennis kwa muda wa miaka miwili, na hii ni mara tu baada ya kunaswa na vipimo vya kisasa juu ya kile kinacho itwa utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu.
sharapooShirikisho la Tennis la kimataifa duniani (ITF) limemfungia Maria Sharapova baada ya kugundua kuwa amekuwa akitumia dawa hizo za kusisimua misuli aina ya Meldonium kwa muda mrefu.
Shirikisho hilo limetangaza rasmi June 8 2016 kuwa mrembo huyo hatoruhusiwa kucheza tennis kwani amekiuka sheria za michezo, ingawa imetangazwa rasmi kufungiwa kwake, Maria Sharapova anasema yeye amekuwa akitumia  dawa hizo kwa  matibabu ya moyo tangu mwaka 2006.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Total Pageviews

HABARI MPYA


Recent Posts Widget

CEO:KOMBO MVUNGI




HOTLINE:+255719050552 +255762198234


Email:mvungi134family@gmail.com

Dodoma,Tanzania

KARIBU UTANGAZE BIASHARA YAKO BEI NI NAFUU
Nakaribisha maoni yenu.Kama una habari pia
waweza kututumia kwenye email yetu hapo juu


Blog Archive

My Blog List

  • Happy Christmas - πŸ‘‹πŸ‘ΌπŸ‘‹ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika similizi ka...
    8 months ago
Powered by Blogger.