Maria Sarapova ni miongoni mwa wanawak matajiri duniani, ambaye ni mcheza tennis maarufu. Maria Sharapova ameitikisa wimbi la michezo duniani baada ya kufungiwa kucheza Tennis kwa muda
wa miaka miwili, na hii ni mara tu baada ya kunaswa na vipimo vya kisasa juu ya kile kinacho itwa utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu.
Mzee Philemon Ndesamburo afariki dunia
-
Wednesday, May 31, 2017
Breaking News: Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia
Mbunge wa zamani wa Moshi Mjini (Chadema) Philemon Ndesamburo...
8 years ago
0 comments:
Post a Comment