RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LEO AMETOKA NA KUFANYA SAFARI YA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI BAINA YA TANZANIA NA RWANDA.HII NI SAFARI YAKE YA KWANZA TANGU AWE RAISI WA AWAMU YA TANO,
AMEDAI YA KWAMBA AMEKUWA AKIPATA MIALIKO MINGI HADI YA KWENDA ULAYA LAKINI AMEONA BORA ANZE NA MAJIRANI ZETU WA RWANDA.
Happy Christmas
-
ππΌπ Tunawatakia happy Christmas day wadau wetu wa uhakika nakuwa ahidi
juu ya kuwapatieni habari za kina katika kila nyanza, halikadhalika
similizi ka...
0 comments:
Post a Comment